You are here: Home > Tanzania
All posts from

CBE Tanzania Admission Application Status : College of Business Education

Organisation : College of Business Education
Facility Name : Check Admission Application Status
College Location : Dar es Salaam
Country : Tanzania
Website : https://cbe.ac.tz/

Sponsored Links:
Want to comment on this post?
Go to bottom of this page.

How To Check CBE Tanzania Admission Application Status?

To check CBE Tanzania Admission Application Status online, Follow the below steps

Related / Similar Facility : MWECAU Moshi Online Admission Application System

Step-1 : Go to the link https://coas.cbe.ac.tz/apply/login
Step-2 : Select Campus
Step-3 : Enter the User Name
Step-4 : Enter the Password and
Step-5 : Click on Login button

Sponsored Links:

CBE Tanzania Admission Application Process

Please read carefully information below before starting the application process

New Applicant:
** If you are new applicant use “New Applicant” or “Register” link to begin application process. Then follow the steps to complete your application.
** If you already have an account
** Enter your form four Index Number (username) and Password to login.
** After successful login to your account, you will receive a Control Number (That’s begins with 99) displayed on your screen.
** After successful paying the application fee, complete the Application form and submit.
** The Application Fee is 10,000 TZS. The fee is Non-Refundable.

After getting the Control Number:
Payments can also be done through Mobile Money (Tigo-Pesa, M-pesa, and Airtel Money) through the following steps:

Tigo Pesa:
** Piga *150*01#
** Chagua namba (4) “Lipa Bili”
** Chagua (5) “Malipo ya Serikali”
** Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo (Control number)
** Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kulipa (10,000 TZS – Shilingi elfu kumi tu)
** Ingiza namba ya siri kuhakiki

M-Pesa:
** Piga *150*00#
** Chagua namba (4) “Lipa kwa M-Pesa”
** Chagua (5) “Malipo ya serikali”
** Chagua namba 1 Namba ya malipo
** Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo (Control number)
** Ingiza kiasi cha pesa unachotaka kulipia (10,000 TZS – Shilingi elf kumi tu)
** Ingiza namba ya siri
** Thibitisha kwa kuchagua (1)

Airtel Money:
** Piga *150*60#
** Chagua namba (4) “Lipa Bili”
** Chagua (5) “Malipo ya Serikali”
** Chagua namba 1 “Weka namba ya kumbukumbu”
** Ingiza namba ya kumbukumbu ya malipo (Control number)
** Ingiza kiasi cha pesa (10,000 TZS – Shilingi elf kumi tu)
** Ingiza namba ya siri.

T-Pesa:
** Piga *150*71#
** Chagua namba (5) “Lipia Bili”
** Chagua (3) “Malipo ya Serikali”
** Ingiza kumbukumbu namba (control number)
** Ingiza kiasi (10,000 TZS – Shilingi elf kumi tu)
** Ingiza namba ya siri.

Halopesa:
** Piga *150*88#
** Chagua namba (5) lipia bili
** Chagua (5) malipo ya serikali
** Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (Control number)
** Ingiza kiasi cha pesa (10,000 TZS – Shilingi elf kumi tu)
** Weka namba ya siri.

Ezypesa:
** Piga *150*02#
** Chagua namba (8) malipo ya serikali
** Chagua (1) Tanzania Bara
** Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (Control number)
** Ingiza kiasi cha pesa (10,000 TZS – Shilingi elf kumi tu)
** Weka namba ya siri.

Kwa njia ya kuweka Fedha Benki (Direct Bank Deposit):
Pia Malipo yanaweza kufanyika kwa kuweka fedha katika benki zilizojiunga na GePG, mfano: NMB / CRDB / TPB/ NBC/ PBZ/ DTB/ EXIM/ TIB/ STANBIC, DCB na BoT kwa kupitia matawi ya benki, mawakala wa Benki na njia nyingine za malipo zitolewazo na Benki. Tumia Namba ya kumbukumbu ya Malipo (Control Number) uliyopewa unapofanya Malipo.

Kwa njia ya kuhamisha Fedha (TISS / SWIFT):
** Malipo yanaweza kufanyika kwa njia ya kuhamisha Fedha kutoka benki moja kwenda benki nyingine ndani ya Tanzania (TISS) au nje ya Tanzania (SWIFT), wakati wa kujaza fomu ya kuhamishia fedha lazima mambo yafuatayo yazingatiwe;
** Taasisi inayotoa huduma iandae bill (Transfer Bill) maalum kwa ajili ya wateja wanaolipa kwa njia ya kuhamisha fedha (TISS / SWIFT) kwa kuzingatia fomu ya mfano (“Kiambatanisho namba 2”)
** Kipengele cha 59 (Field 59) kwenye fomu ya kuhamishia fedha (MT103) kijazwe akaunti ya mpokeaji (Beneficiary Account)
** Kipengele cha 70 (Field 70) kwenye fomu ya kuhamishia fedha (MT103) kijazwe namba ya kumbukumbu ya Malipo (Control number) na ijazwe kwa kutanguliza neno “ROC” yaani; / ROC/ 99XXXXXXXXXX.
** Mteja / Mlipaji apatiwe fomu za kuhamishia fedha baada ya kuichapisha (Printed Transfer Form / Bill) aipeleke na kuiwasilisha katika benki atakayoitumia kuhamisha fedha na hatatakiwa kujaza upya fomu.

If you forget the Control Number you may Login and Click on the Payment link and check it.

CBE Tanzania Contact

College of Business Education CBE Tanzania

Dar : 0735250115 / 0757329498
Dodoma: 0716502216 / 0734330104 / 0763825260
Mwanza: 0763296874 / 0713176813 / 0759924626 / 255654125965
Mbeya: +255652255633 / 0652255633 / 255 716803664 / 0716535760

Leave a Reply

How to add comment : 1) Type your comment below. 2) Type your name. 3) Post comment.

www.statusin.org © 2021

Contact Us   Privacy Policy   Site Map